Jitihada za kutafuta mabaki ya marubani wa Marekani wa Vita vya Pili vya Dunia
Wapiga mbizi kutoka jeshi la wanamaji wa Ufaransa wanashirikiana na shirika moja la Marekani wa kutafuta mabaki ya marubani wawili wa Marekani wa vita vya pili vya Dunia mashariki pwani mwa kisiwa cha Ufaransa cha Corsica.
Chanzo cha picha, AFP
Shirika la (DPAA) limekuwa likisaidiwa na jeshi la Ufaransa kutafuta mabaki ya ndege.
Uchunguzi wa DNA kwa mabaki yaliyogunduliwa utasaidia kutambua marubani wa Marekani ambao wameorodheshwa kuwa waliotoweka wakiwa vitani.
Chanzo cha picha, AFP
Picha hizi zinaonyesha wapiga mbizi wa jeshi la Ufaransa kutoka FS Pluton M622 wakiogelea juu ya mabaki ya USAAF P-47 Thunderbolt ambayo ilianguka mwaka 1944.
Chanzo cha picha, AFP
Lengo la DPAA ni kuwatafuta wamarekani kutoka kwa mizozo iliyopita kuanzia Vita vya Pili vya Dunia.
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, AFP
Wapiga mbizi wafaransa na DPAA pia walikusanya mabaki kutoka kwa ndege kuyachunguza.
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, AFP
.
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena