Ufaransa yapambana na moto wa msituni
Chanzo cha picha, EPA
Hali isiyotarajiwa ya upepo, joto na kiangazi kikali Kusini Mashariki mwa Ufaransa, imechangia kuenea kwa kasi kwa moto wa msituni, kote katika eneo hilo.
Wazima moto 600 wanakabiliana na moto huo ambao ulianza Jumatatu asubuhi, katika mbuga moja ya kitaifa ya wanyama pori, iliyoko katika jimbo la Luberon, na kufikia sasa moto huo unateketeza eneo la ukubwa wa kilomita 8 mraba.
Mamia ya watu wamehamishwa kama njia ya kuchukua tahadhari
Chanzo cha picha, EPA
Chanzo cha picha, EPA
Chanzo cha picha, AFP / Getty Images
Chanzo cha picha, Getty Images
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena
{{rankTranslation}}