Mashindano ya ndondi ya WBA

Maelezo ya picha, Nick Otieno

Bondia wa Kenya Nick Otieno na mkanda wa Afrika uzani wa super fly chama cha WBA. Alimshinda Haji Juma wa Tanzania kwa pointi pigano la raundi 12.

Maelezo ya picha, Fadhili Majiha

Fadhili Majiha wa Tanzania alimshinda Gabriel Ochieng wa Kenya na kutwaa taji la Afrika uzani wa Super Bantam.

Maelezo ya picha, Okwiri amuondokea Salehe Mkalekwa baada ya kumuangusha raundi ya tatu
Maelezo ya picha, Mashindano ya ndoni ya WBA