Picha bora za kutawazwa kwa Mfalme Charlse
Mfalme Charles na Malkia Camilla wametawazwa katika sherehe iliyosheheni muziki na ishara ndani ya ukumbi wa Westminster Abbey.
Chanzo cha picha, Ben Birchall / PA Media
Chanzo cha picha, Andrew Matthews / Pool
Chanzo cha picha, Andrew Matthews / Pool
Chanzo cha picha, Pool
Chanzo cha picha, PA Media
Chanzo cha picha, Yui Mok / PA Media
Chanzo cha picha, PA
Akiwa amevalia vazi la babu yake, Mfalme Charles alikula kiapo na kupakwa mafuta matakatifu, kabla ya Taji la kihistoria la St Edward kuwekwa kichwani mwake.
Chanzo cha picha, Aaron Chown / PA Media
Chanzo cha picha, Jonathan Brady / PA Media
Chanzo cha picha, Jonathan Brady / PA Media
Chanzo cha picha, Yui Mok / Pool
Mbunge wa Conservative Penny Mordaunt aliwasilisha upanga wenye vito vya sadaka kwa Mfalme.
Chanzo cha picha, Yui Mok / Pool
Chanzo cha picha, Jonathan Brady / PA Media
Malkia Camilla alitawazwa katika hafla fupi na kuvishwa Taji ya Malkia Mary. Hakula kiapo.
Chanzo cha picha, Jonathan Brady / PA Media
Baada ya sherehe hiyo, Mfalme na Malkia walifanya msafara katika mitaa ya katikati mwa London katika gari maalum la Dhahabu.
Chanzo cha picha, Dan Charity / Pool
Chanzo cha picha, Toby Melville / Pool
Chanzo cha picha, Lisi Niesner / Reuters
Chanzo cha picha, Clodagh Kilcoyne / Reuters
Mwana Mfalme Harry aliwasili bila mke wake, Meghan, Duchess wa Sussex.
Chanzo cha picha, Toby Melville / Pool
Chanzo cha picha, Richard Pohle / Pool
Mwanamfalme Louis akifuatilia yanayojiri huku akipiga miayo mara kwa mara
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Reuters
Wageni waalikwa, ikiwa ni pamoja na Familia ya Kifalme, watu mashuhuri, viongozi wa kidini na wakuu wa nchi, waliketi kabla ya kuwasili kwa Mfalme.
Chanzo cha picha, Jacob King / PA Media
Chanzo cha picha, Jane Barlow / PA Media
Chanzo cha picha, PA
Chanzo cha picha, Getty Images
Chanzo cha picha, Jane Barlow / Pool
Chanzo cha picha, Jane Barlow / Pool
Chanzo cha picha, Jane Barlow / PA Media
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Dylan Martinez / Reuters
Chanzo cha picha, Gareth Cattermole / POOL
Picha zote zina haki miliki.
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena