Tazama picha za kaburi hili la aina yake la miaka 4,400 lililogunduliwa Misri
Chanzo cha picha, AFP/Getty Images
Wana akiolojia wamefanya ugunduzi usio wa kawaida - kaburi la kasisi mmoja ambayo halijapatikana kwa miaka 4,400.
Mostafa Waziri, katibu kwenye baraza linalohusika na maeneo ya kale alitaja ugunduzi huo kama wa aina yake kwa miaka mingi iliyopita.
Kaburi hilo ambalo liligunduliwa eneo linalojulikana kama Saqqara pyramid complex mjini Cairo lina sanamu za Firauni.
Wana akiolojia wataanza kulichimba kaburi hilo leo na wanatarajia kufanya ugunduzi zaidi baadaye ukiwemo mwili wa aliyezikwa humo.
Haya ni yale tayari wamegundua....
Chanzo cha picha, AFP/Getty Images
Chanzo cha picha, AFP/Getty Images
Chanzo cha picha, AFP/Getty Images
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, EPA
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, EPA
Chanzo cha picha, Reuters
All pictures subject to copyright
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena