Mamilioni ya watu wanakaa kwenye kambi na wengine maelfu wamekwama kwenye mafuriko nchini India

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Kazi kubwa ya usafi inaendelea baada ya mvua kubwa kupiga Kerala

Takribani watu 400 wamekufa na wengine maelfu wamekwama katika mafuriko makubwa ambayo hayajawahi kutokea kabla katika karne hii huko India katika mji wa Kerala.

Watu zaidi ya milioni moja hawajulikani walipo na wengine maelfu wanaishi kwenye kambi.

Mvua kubwa za masika zinazosababishwa na upepo mkali zilipoanza,jitihada nyingi zilifanyika ili kuwaondoa watu katika maeneo hayo ya pembezoni.

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Jeshi la India linaendelea kutoa msaada kwa wale ambao wamekwama katika mafuriko

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Misaada kutoka maeneo mbalimbali ya India yawasilishwa

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Vyakula ni miongoni mwa misaada ambayo wanapokea

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Wale waliolazimika kuhama makazi yao wanalala kwenye kambi kwa zamu

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Mpaka mafuriko yaishe ndio wataweza kurejea kwenye makazi yao

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Mazishi wa watu 400 waliokufa katika mafuriko