Uchaguzi Uingereza 2017: Mbwa wafika kwa wingi vituoni
Chanzo cha picha, Twitter@kcatclarke
Wapiga kura walipokuwa wanafika vituoni kupiga kura Uingereza, mbwa wa kila aina hawakuachwa nyuma.
Na punde si punde, watu walianza kugundua kwamba wanyama hao walikuwa wengi sana ajabu, na kitambulisha mada cha #DogsAtPollingstations (Mbwa vituo vya kupigia kura) kikaanza kuvuma mitandaoni.
Kando na mbwa, kunao watoto, paka na hata nungunugu walionekana na kuvutia watu vituoni.
Chanzo cha picha, Twitter/@SAMiCURE
Wengi walipakia picha za mbwa wao mtandaoni Alhamisi asubuhi na katika kipindi cha saa mbili za kwanza baada ya vituo kufunguliwa, ujumbe 8000 kuhusu mbwa ulikuwa umepakiwa mtandaoni.
Mtindo kama huo ulionekana katika uchaguzi wa mitaa mwezi uliopita, kura ya maoni kuhusu kujiondoa kwa Uingereza kutoka Umoja wa Ulaya na wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Mwaka huu, Twitter hata walitoa kibonzo cha mbwa akiwa amevalishwa bendera ya Uingereza.
Twitter walishirikiana na wakfu wa The Dogs Trust kutetea kuwepo kwa mazingira bora ya mbwa kwenye vituo vya kupigia kura.
Chanzo cha picha, Twitter/@DachshundOtto
Chanzo cha picha, Twitter/@TheSpeer7
Chanzo cha picha, Twitter/@Thefpl_vet
Chanzo cha picha, Peter Maude
Chanzo cha picha, Twitter/@falcoretweets
There was an interruption when an unexpected guinea pig popped up.
Chanzo cha picha, @MxJackMonroe
Lakini mbwa bado walikuwa ndio wengi.
Chanzo cha picha, Deli
Chanzo cha picha, Twitter/@jodiedoubleday
Chanzo cha picha, Twitter/@DrRJWalker
Chanzo cha picha, Georgie
Chanzo cha picha, Twitter/@pedventurelurcher
Chanzo cha picha, Twitter/@H_Ingram
Baadhi ya mbwa aina ya Pooch hawakuweza kufika vituoni, lakini wanaonekana kutotaka kuachwa nje:
Chanzo cha picha, Twitter/@Mansehound
Kuliwepo hata hivyo na wanapaka, na kitambulisha mada ya #catsatpollingstations (paka vituoni) pia kilivuma kiasi.
Chanzo cha picha, Twitter/ @cbowyercreative
Hata nungunungu huyu kwa jina Friday alitaka kushiriki Hemel Hempstead.
Chanzo cha picha, Toni Lambert
Na farasi je? Walikuwepo pia.
Chanzo cha picha, Twitter/@FontwellPark
Chanzo cha picha, Twitter/ @kazzimazzi
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena