Wakenya watawala mbio za London Marathon
Chanzo cha picha, Reuters
Wakenya Mary Keitany na Daniel Wanjiru wameibuka washindi wa mbio za London Marathon.
Keitany ameandikisha rekodi mpya ya wanawake pekee katika mbio za nyika kwa muda wa 2:17:01.
Amechukua taji hilo kwa mara ya tatu sasa akiwa na miaka 35.
Muithiopia Tirunesh Diababa amemaliza katika nafasi ya pili kwa muda wa 2:17:56
Katika mbio za wanaume Daniel Wajiru wa Kenya ameshinda kwa muda wa 2:05:56 na kufuatwa kwa karibu na Kenenisa Bekele wa Ethiopia
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena
{{rankTranslation}}