Afcon 2023: Tanzania yaaga mashindano huku DR Congo ikisonga mbele

Chanzo cha picha, Getty Images
Kombe la Mataifa ya Afrika 2023
- P - Imecheza
- W - Imeshinda
- L - Imeshindwa
- D - Imetoka Sare
- GD - Tofauti ya bao
- Pts - Alama
-
-
Kundi A
Nchi P W L D GD Pts Equatorial Guinea 3 2 0 1 6 7 Nigeria 3 2 0 1 2 7 Ivory Coast 3 1 2 0 -3 3 Guinea Bissau 3 0 3 0 -5 0 -
13/01/2024, 20:00Ivory Coast 2-0 Guinea Bissau-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
14/01/2024, 14:00Nigeria 1-1 Equatorial Guinea-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
18/01/2024, 14:00Equatorial Guinea 4-2 Guinea Bissau-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
18/01/2024, 17:00Ivory Coast 0-1 Nigeria-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
22/01/2024, 17:00Equatorial Guinea 4-0 Ivory Coast-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
22/01/2024, 17:00Guinea Bissau 0-1 Nigeria-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
-
Kundi B
Nchi P W L D GD Pts Cape Verde 3 2 0 1 4 7 Misri 3 0 0 3 0 3 Ghana 3 0 1 2 -1 2 Msumbiji 3 0 1 2 -3 2 -
14/01/2024, 17:00Misri 2-2 Msumbiji-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
14/01/2024, 20:00Ghana 1-2 Cape Verde-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
18/01/2024, 20:00Misri 2-2 Ghana-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
19/01/2024, 14:00Cape Verde 3-0 Msumbiji-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
22/01/2024, 20:00Cape Verde 2-2 Misri-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
22/01/2024, 20:00Msumbiji 2-2 Ghana-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
-
-
-
Kundi C
Nchi P W L D GD Pts Senegal 3 3 0 0 7 9 Cameroon 3 1 1 1 -1 4 Guinea 3 1 1 1 -1 4 Gambia 3 0 3 0 -5 0 -
15/01/2024, 14:00Senegal 3-0 Gambia-(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
15/01/2024, 17:00Cameroon 1-1 Guinea-(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
19/01/2024, 17:00Senegal 3-1 Cameroon-(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
19/01/2024, 20:00Guinea 1-0 Gambia-(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
23/01/2024, 17:00Gambia 2-3 Cameroon-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
23/01/2024, 17:00Guinea 0-2 Senegal-(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
-
Kundi D
Nchi P W L D GD Pts Angola 3 2 0 1 3 7 Burkina Faso 3 1 1 1 -1 4 Mauritania 3 1 2 0 -1 3 Algeria 3 0 1 2 -1 2 -
15/01/2024, 20:00Algeria 1-1 Angola-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
16/01/2024, 14:00Burkina Faso 1-0 Mauritania-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
20/01/2024, 14:00Algeria 2-2 Burkina Faso-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
20/01/2024, 17:00Mauritania 2-3 Angola-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
23/01/2024, 20:00Angola 2-0 Burkina Faso-(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
23/01/2024, 20:00Mauritania 1-0 Algeria-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
-
-
-
Kundi E
Nchi P W L D GD Pts Mali 3 1 0 2 2 5 Afrika Kusini 3 1 1 1 2 4 Namibia 3 1 1 1 -3 4 Tunisia 3 0 1 2 -1 2 -
16/01/2024, 17:00Tunisia 0-1 Namibia-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
16/01/2024, 20:00Mali 2-0 Afrika Kusini-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
20/01/2024, 20:00Tunisia 1-1 Mali-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
21/01/2024, 20:00Afrika Kusini 4-0 Namibia-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
24/01/2024, 17:00Namibia 0-0 Mali-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
24/01/2024, 17:00Afrika Kusini 0-0 Tunisia-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
-
Kundi F
Nchi P W L D GD Pts Morocco 3 2 0 1 4 7 DR Congo 3 0 0 3 0 3 Zambia 3 0 1 2 -1 2 Tanzania 3 0 1 2 -3 2 -
17/01/2024, 17:00Morocco 3-0 Tanzania-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
17/01/2024, 20:00DR Congo 1-1 Zambia-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
21/01/2024, 14:00Morocco 1-1 DR Congo-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
21/01/2024, 17:00Zambia 1-1 Tanzania-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
24/01/2024, 20:00Tanzania 0-0 DR Congo-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
24/01/2024, 20:00Zambia 0-1 Morocco-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
-
-
Hatua ya 16 Bora
-
27/01/2024, 17:00Angola 3-0 Namibia-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
27/01/2024, 20:00Nigeria 2-0 Cameroon-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
28/01/2024, 17:00Equatorial Guinea 0-1 Guinea-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
28/01/2024, 20:00Misri 1-1 DR Congo7-8(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
29/01/2024, 17:00Cape Verde 1-0 Mauritania-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
29/01/2024, 20:00Senegal 1-1 Ivory Coast4-5(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
30/01/2024, 17:00Mali 2-1 Burkina Faso-(Penati)(Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
-
30/01/2024, 20:00Morocco 0-2 Afrika Kusini-(Penati)(Uwanja wa Laurent Pokou)
-
-
Robo- Fainali
-
02/02/2024, 17:00Nigeria 1-0 Angola-(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
02/02/2024, 20:00DR Congo 3-1 Guinea-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
03/02/2024, 17:00Mali 1-2 Ivory Coast-(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
03/02/2024, 20:00Cape Verde 0-0 Afrika Kusini1-2(Penati)(Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
-
-
Nusu- Fainali
-
07/02/2024, 17:00Nigeria 1-1 Afrika Kusini4-2(Penati)(Uwanja wa Bouaké)
-
07/02/2024, 20:00Ivory Coast 1-0 DR Congo-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
-
Nafasi ya 3 na ya 4
-
10/02/2024, 20:00Afrika Kusini 0-0 DR Congo6-5(Penati)(Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
-
-
Fainali
-
11/02/2024, 20:00Nigeria 1-2 Ivory Coast-(Penati)(Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
-
DR Congo ilitinga hatua ya mtoano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2023 baada ya kutoka sare tasa na Tanzania mjini Korhogo.
Matokeo hayo yaliwaondoa Waafrika hao wa Mashariki, ambao walihitaji kushinda ili kuendelea.
Pointi moja ilitosha kwa DR Congo kumaliza nafasi ya pili katika Kundi F nyuma ya Morocco, walioongoza jedwali kutokana na ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Zambia.
Zawadi ya Leopards ni hatua ya 16 bora dhidi ya Misri, huku Morocco ikimenyana na Afrika Kusini.
Matokeo ya Kundi F pia yalitosha kuwaona wenyeji wa michuano hiyo Ivory Coast wakipenya hadi katika raundi ya pili kama timu nne bora zilizoshika nafasi ya tatu.
The Elephants - ambao walikuwa wamemfuta kazi bosi Jean-Louis Gasset mapema Jumatano baada ya kumaliza wa tatu katika Kundi A - watamenyana na mabingwa watetezi Senegal katika hatua ya 16 bora Jumatatu.
Leopards walikuwa bora katika mchuano huo
Uchaguzi wa kikosi cha AFCON 2023 na ushirikishe
Kwa kutumia mtandao wetu, chagua timu yako unayoipenda ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kwenye orodha yetu na uishirikishe marafiki zako.
Chagua mbinu
Chagua Mlinzi
Michuano hiyo itajumuisha makundi sita ya timu nne (A-F) huku timu mbili za juu zikifuzu moja kwa moja hatua ya 16 ya mwondoano.
Timu hizo 12 zitaunganishwa na timu nne zilizoshika nafasi ya tatu bora kutoka makundi sita, zikiwa na vigezo vinavyozingatia matokeo sambamba baina ya timu na pili tofauti ya mabao.
Utafiti na Damilola Ojetunde, uliyofanyiwa kazi na Olaniyi Adebimpe na Umeandaliwa na Boaz Ochieng
Katika mechi ngumu ambapo timu zote zilikosa nafasi za wazi, hakuna timu iliofanikiwa kuinggia katika lango la mwengine na kjufunga goli
Wakichochewa na wafuasi wengi wenye sauti na uchangamfu ambao walizidi sauti za wafuasi wa, DR Congo ilitengeneza fursa bora zaidi katika kipindi cha ufunguzi.
Gael Kakuta alipiga mpira wa adhabu uliokamatwa moja kwa moja na kipa wa Taifa Stars, Aishi Manula, ambaye pia alitoka nje kwa kasi na kuzuia shambulio la Fiston Mayele kwenye eneo la hatari.
Pasi nzuri ya Kakuta kwa Yoane Wissa pia iliokolewa na kipa huyo aliposalia na mshambuliaji huyo wa Brentford
Meschack Elia wa DR Congo akijibu hoja wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2023 dhidi ya Tanzania

Chanzo cha picha, Getty Imgaes
Pata habari za kina kutoka BBC News Swahili, moja kwa moja kupitia WhatsApp.
Bonyeza hapa kujiunga
Mwisho wa Whatsapp
Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta alijitahidi sana katika timu yake akilizunguka eneo la hatari na kupiga shuti kali kutoka pembeni.
Nafasi zilikuwa nyingi zaidi katika kipindi cha pili hadi Wissa alipotengeneza nafasi mbili hatari katika kipindi cha mwisho cha mchezo.
Kwanza, Manula aliokoa shambulio zuri kutoka kwa mchezaji huyo wa Brentford baada ya kujinyoosha ili kupangua mpira uliotarajiwa kuchezesha wavu.
Lakini ukweli, ukungu mwepesi uliposhuka kwenye Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly, hakuna upande ulioonekana kama kutafuta njia ya kupata bao.
Matokeo hayo yanamaanisha Tanzania iliandikisha sare tasa kwa mara ya kwanza katika Kombe la Mataifa ya Afrika, na kwamba bado hawajashinda katika mechi tisa za michuano hiyo, wakimaliza mkiani mwa kundi lao kwa mara nyingine.
Washindi mara mbili DR Congo wametinga hatua ya mtoano kwa mara ya tano katika mechi sita zilizopita kwenye fainali na watafurahia nafasi yao ya kushinda timu ya Misri itakayomkosa Mohamed Salah wakati timu hizo mbili zitakapokutana San Pedro Jumapili (20:00). GMT).












