Katika picha: Uharibifu na hofu wakati vita vinavyoikumba Ukraine

Vikosi vya kijeshi vya Urusi vimeanza mashambulizi ya kijeshi dhidi ya nchi jirani ya Ukraine, na kuvuka mipaka yake na kushambulia maeneo ya kijeshi karibu na miji mikubwa.

Chanzo cha picha, Ukrainian State Emergency Service / Reuters

Maelezo ya picha, Katika picha kutoka huduma ya dharura ya Jimbo la Ukraine, waokoaji wakifanya kazi katika eneo la ajali ya ndege ya Antonov ya Wanajeshi wa Ukrain, iliyodunguliwa katika mkoa wa Kyiv.

Chanzo cha picha, Victoria Vota

Maelezo ya picha, Raia wakiwa wamejihifadhi katika kituo cha metro huko Kharkiv, Ukraine, katika picha iliyopigwa na Victoria Vota. "Tunajaribu kuwa na nguvu," alisema bi. Vota.

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Wanajeshi wa Ukraine wakijitayarisha kushambulia mkoa wa Lugansk

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Moshi mweusi ukiwa unatoka uwanja wa ndege wa kijeshi huko Chuhuiv, karibu na Kharkiv.

Chanzo cha picha, AFP

Chanzo cha picha, Anadolu Agency via Getty Images

Chanzo cha picha, State Border Guard Service of Ukraine / PA Media

Maelezo ya picha, Picha ya CCTV katika mpakani ikionesha magari ya kijeshi ya Urusi yakiingia Ukraine.

Chanzo cha picha, Anadolu Agency via Getty Images

Chanzo cha picha, Anadolu Agency via Getty Images

Maelezo ya picha, Waokoaji wakijaribu kuwaokoa raia

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Moshi ukiwa unatokea karibu na uwanja wa ndege kusini mashariki mwa mji wa Mariupol.

Chanzo cha picha, EPA / Interior Ministry Press Service

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Mjini Kyiv, polisi wakikagua katika mitaa mbalimbali

Chanzo cha picha, AFP

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Wakiwa uwanja wa ndege Kyiv .

Chanzo cha picha, Reuters

All pictures are subject to copyright.