Tanzania kufuzu robo fainali kombe la dunia kwa watu wenye ulemavu
Timu ya taifa ya Tanzania imefuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya kombe la dunia kwa watu wenye ulemavu nchini Uturuki Tanzania ndiye mwakilishi pekee wa ukanda wa Afrika mashariki kwenye michuano hiyo na iwapo watashinda mchezo wao ujao dhidi ya Japan wataingia hatua ya robo fainali.
Habari kuu
Gumzo mitandaoni
Zinazovuma zaidi
Haipatikani tena
{{rankTranslation}}