Netanyahu hafanyi vya kutosha kupata makubaliano ya mateka wa Gaza-Biden

Vifo vyao vimesababisha maandamano makubwa nchini Israel kutoka kwa wale wanaokosoa jinsiNetanyahu anavyoshughulikia vita na mzozo wa mateka.

Muhtasari

  • Uingereza kusitisha mauzo ya baadhi ya silaha kwa Israel, waziri wa mambo ya nje atangaza
  • Kenya: KUPPET yasitisha mgomo wa walimu baada ya kukutana na TSC
  • Makubaliano ya kurudisha mateka walioko Gaza yako karibu, asema Biden
  • Ufaransa: Mwanamume ashtumiwa kwa kuajiri watu asiowajua kumbaka mkewe
  • Makombora ya Urusi yalenga Kyiv siku ya kwanza ya mwaka wa shule
  • Kukata tamaa kuligeuka kuwa hasira - mambo Israeli yanatokota
  • Mahakama ya Israel yaamuru kusitishwa kwa mgomo huku maandamano zaidi yakipangwa
  • Mpinzani kwa rais wa Tunisia akamatwa, yasema timu yake ya kampeni
  • Mshukiwa wa mauaji Kevin Kang'ethe arejeshwa Marekani kujibu mashtaka
  • Mfanyikazi wa zamani wa huduma ya watoto akutwa na hatia ya kuwadhulumu makumi ya wasichana
  • Nyangumi anayeshukiwa kuwa 'jasusi wa Urusi' apatikana amekufa karibu na Norway
  • Chanjo ya kwanza ya Mpox kupelekwa DRC
  • Mtunza wanyama ashambuliwa na chuimilia katika bustani Australia
  • Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania yatahadharisha kuwepo kwa upepo mkali
  • 'Huu ni msimu wangu wa mwisho Liverpool' - Mo Salah
  • Maelfu ya waandamana Israel kushinikiza makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka
  • Takribani watu 41 wajeruhiwa katika mashambulizi ya anga ya Urusi mjini Kharkiv