Netanyahu hafanyi vya kutosha kupata makubaliano ya mateka wa Gaza-Biden
Vifo vyao vimesababisha maandamano makubwa nchini Israel kutoka kwa wale wanaokosoa jinsiNetanyahu anavyoshughulikia vita na mzozo wa mateka.
Muhtasari
- Uingereza kusitisha mauzo ya baadhi ya silaha kwa Israel, waziri wa mambo ya nje atangaza
- Kenya: KUPPET yasitisha mgomo wa walimu baada ya kukutana na TSC
- Makubaliano ya kurudisha mateka walioko Gaza yako karibu, asema Biden
- Ufaransa: Mwanamume ashtumiwa kwa kuajiri watu asiowajua kumbaka mkewe
- Makombora ya Urusi yalenga Kyiv siku ya kwanza ya mwaka wa shule
- Kukata tamaa kuligeuka kuwa hasira - mambo Israeli yanatokota
- Mahakama ya Israel yaamuru kusitishwa kwa mgomo huku maandamano zaidi yakipangwa
- Mpinzani kwa rais wa Tunisia akamatwa, yasema timu yake ya kampeni
- Mshukiwa wa mauaji Kevin Kang'ethe arejeshwa Marekani kujibu mashtaka
- Mfanyikazi wa zamani wa huduma ya watoto akutwa na hatia ya kuwadhulumu makumi ya wasichana
- Nyangumi anayeshukiwa kuwa 'jasusi wa Urusi' apatikana amekufa karibu na Norway
- Chanjo ya kwanza ya Mpox kupelekwa DRC
- Mtunza wanyama ashambuliwa na chuimilia katika bustani Australia
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania yatahadharisha kuwepo kwa upepo mkali
- 'Huu ni msimu wangu wa mwisho Liverpool' - Mo Salah
- Maelfu ya waandamana Israel kushinikiza makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka
- Takribani watu 41 wajeruhiwa katika mashambulizi ya anga ya Urusi mjini Kharkiv
