Kwa picha: Uchaguzi wa Zimbabwe ulivyoshuhudia umati mkubwa wa wapiga kura.
Milolongo mirefu imeshuhudiwa katika vituo vya kupigia kura, kwenye uchaguzi ambao chama cha upinzani kinatarajia ushindi dhidi ya chama cha ZANU PF ambacho kimeitawala Zimbabwe tangu ijipatie uhuru
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, AFP
Chanzo cha picha, Reuters
Chanzo cha picha, AFP