Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Venezuela yaishutumu Marekani kwa 'unyang'anyi mkubwa'
Hatua ya Washington ya kukamata meli mbili za mafuta za Venezuela ilikuwa "mbaya zaidi kuliko uharamia," balozi wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa alisema.
Muhtasari
- Mzozo wa Ukraine: Zelensky atoa maelezo ya mpango mpya wa amani
- Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wa Uingereza miongoni mwa watano walionyimwa viza ya Marekani
- Makumi ya watu wakamatwa katika msako dhidi ya uhalifu wa mtandaoni Ghana
- Venezuela yaishutumu Marekani kwa 'unyang'anyi mkubwa'
- Wanavijiji wa mpakani wametekwa nyara na kupelekwa Urusi - Ukraine
- Umoja wa Kijeshi wa Sahel wazindua kituo cha TV cha pamoja na benki ya uwekezaji
- Trump alisafiri kwa ndege ya Epstein zaidi ya ilivyofikiriwa awali - mwendesha mashtaka
- Wataalamu wa UN waitaka Iran isitishe hukumu ya kifo dhidi ya mwanaharakati mwanamke
- Mtangazaji wa Uingereza ashtakiwa kwa makosa mapya ya unyanyasaji wa kingono
- Mkuu wa jeshi Libya afariki katika ajali ya ndege Uturuki
- Ukraine yapoteza mji wa mashariki uliokumbwa na vita