Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Afrika Kusini : Je, bendi ya Ladysmith Black Mambazo inasambaratika?
Gazeti moja la Afrika Kusini linaripoti kuwa watoto wawili wa kiume wa mwanzilishi wa kundi la Afrika Kusini la Ladysmith Black Mambazo, marehemu Shabalala ,sasa wanazozana kuhusu nani atakayekuwa kiongozi wa kundi hilo. Gazeti la The Daily Sun linaripoti kuwa swala la hatimiliki pia linachangia mzozo huo.